MwanzoBDT / USD • Sarafu
add
BDT / USD
Bei iliyotangulia
0.0082
Habari za soko
Kuhusu Taka ya Bangladesh
The taka is the currency of Bangladesh. In Unicode, it is encoded at U+09F3 ৳ BENGALI RUPEE SIGN.
Issuance of banknotes ৳10 and larger is controlled by Bangladesh Bank, while the ৳2 and ৳5 govt. notes are the responsibility of the ministry of finance. The govt. notes of Tk. 2 and Tk.5 have mostly been replaced by coins while lower denomination coins up to Tk. 1 have almost gone out of circulation due to inflation. The most commonly used symbol for the taka is "৳" and "Tk", used on receipts while purchasing goods and services. It is divided into 100 poysha, but poysha coins are no longer in circulation. The poysha is still used for accounting purposes.
On 8 May 2024, the central bank placed the taka in a crawling peg to the US dollar, with a rate of 117 takas per US dollar. WikipediaKuhusu Dola ya Marekani
Dola ya Marekani ni sarafu rasmi ya Marekani, iliyoanzishwa mwaka 1792 na kutolewa na Hifadhi ya Shirikisho. Ni sarafu kuu ya akiba duniani, inayotumika sana katika biashara ya kimataifa, bidhaa, na masoko ya fedha za kigeni. Mbali na Marekani, nchi kama Ecuador, El Salvador, na Zimbabwe pia hutumia dola ya Marekani kama sarafu yao rasmi.
Dola ya Marekani inapatikana kwa noti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1.
Dola moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dolar, robo dolar na sarafu za senti 10, 5 na 1.
Hadi mwaka 1969 noti ya dolar ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani itampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuzibadilisha.
Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dola ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini Tanzania.
Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dola hizo. Wikipedia