MwanzoIDR / USD • Sarafu
add
IDR / USD
Bei iliyotangulia
0.000060
Kwenye habari
Kuhusu Rupiah ya Indonesia
The rupiah is the official currency of Indonesia, issued and controlled by Bank Indonesia. Its name is derived from the Sanskrit word for silver, rupyakam. Sometimes, Indonesians also informally use the word perak in referring to rupiah in coins. The rupiah is divided into 100 cents, although high inflation has rendered all coins and banknotes denominated in cents obsolete.
The rupiah was introduced in 1946 by Indonesian nationalists fighting for independence. It replaced the Japanese-issued version of the Netherlands Indies gulden which had been introduced during the Japanese occupation in World War II. In its early years, the rupiah was used in conjunction with other currencies, including a new version of the gulden introduced by the Dutch. The Riau Islands and the Indonesian half of New Guinea had their own variants of the rupiah in the past, but these were subsumed into the national rupiah in 1964 and 1971, respectively. WikipediaKuhusu Dola ya Marekani
Dola ya Marekani ni sarafu rasmi ya Marekani, iliyoanzishwa mwaka 1792 na kutolewa na Hifadhi ya Shirikisho. Ni sarafu kuu ya akiba duniani, inayotumika sana katika biashara ya kimataifa, bidhaa, na masoko ya fedha za kigeni. Mbali na Marekani, nchi kama Ecuador, El Salvador, na Zimbabwe pia hutumia dola ya Marekani kama sarafu yao rasmi.
Dola ya Marekani inapatikana kwa noti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1.
Dola moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dolar, robo dolar na sarafu za senti 10, 5 na 1.
Hadi mwaka 1969 noti ya dolar ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani itampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuzibadilisha.
Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dola ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini Tanzania.
Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dola hizo. Wikipedia